Skip to main content

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI/HEMORHOIDS (MUWASHO NA MAUMIVU KATIKA TUNDU LA HAJA KUBWA)


Ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehem ya ndani na nje ya tundu la haja kubwa na wakati mwingine hutuleza au kutoa damu wakati wa kutoa haja kubwa
Mara nyingi tatizo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 22-50
AINA ZA BAWASIRI
A:BAWASIRI NDANI

Hii hutokea ndani katika mshipa wa haja kubwa wa ndani
Hutokea pale haja kubwa ikatishwapo na kurudi ndani wakati wa kujisaidia

B:BAWASIRI NJE

Hii hutokea eneo la nje la tundu la haja kubwa
na huambatana na maumivu makali au kuwasha sehem hii ya tundu la haja kubwa
Hivyo kupelekea mishipa ya damu kuvuja na kutengeza uvmbe katika tundu la haja kubwa au kuvuja damu katika eneo hilo la haja kubwa

CHANZO CHA UGONJWA HUU
-Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
-Kuharisha kwa mda mrefu
-Tatizo la kutopata choo laini au kujisaidia kinyesi kigumu
-Tatizo la umri mkubwa
-Uzito kupita kiasi
-Matumizi ya vyoo vya kukaa DALILI ZA UGONJWA HUU -Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
-Kujitokeza kwa uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
-Kujitokeza kwa kijinyama katika tundu la haja kubwa 
Kujisaidia kinyesi chenye damu na kunuka kwa harufu mbaya sana MADHARA -Kupata upungufu wa damu
-Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
-Kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke -Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa ari ya kufanya kazi na kutojiamini katika hadhara ya watu

JINSI YA KUEPUKA
-Kutumia matunda na mboga za majani katika mlo
-Kunywa maji ya kutosha wakati na baada ya mlo
-Epuka kukaa chooni kwa mda mrefu

TIBA YAKE HOSPITALINI
Ugonjwa huu tiba yake ni kukukata uvimbe uliojitokeza katika tundu la haja kubwa
Lakini tiba hii si nzuri sana kwani hupelekea kujirudia tena kwa uvimbe pale mgonjwa akosapo kinga tosha
Pia hupelekea maumivu makali kwa mgonjwa

TIBA MBADALA
Tiba ya ugonjwa huu imepatikana 
Dawa hizi zinatoa sumu zote zilizopo katika mwili kuondoa vimelea vya ugonjwa huu
Pia huzuia utokaji wa damu na pia kuondoa uvimbe na misho yote ijitokezayo katika tundu hili la haja kubwa

BAWASIRI NI UGONJWA HATARI KAMA HUTOUCHUKULIA HATUA YA TIBA MAPEMA
Ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehem ya ndani na nje ya tundu la haja kubwa na wakati mwingine hutuleza au kutoa damu wakati wa kutoa haja kubwa
Mara nyingi tatizo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 22-50
AINA ZA BAWASIRI
A:BAWASIRI NDANI
Hii hutokea ndani katika mshipa wa haja kubwa wa ndani
Hutokea pale haja kubwa ikatishwapo na kurudi ndani wakati wa kujisaidia
B:BAWASIRI NJE
Hii hutokea eneo la nje la tundu la haja kubwa
na huambatana na maumivu makali au kuwasha sehem hii ya tundu la haja kubwa
Hivyo kupelekea mishipa ya damu kuvuja na kutengeza uvmbe katika tundu la haja kubwa au kuvuja damu katika eneo hilo la haja kubwa








CHANZO CHA UGONJWA HUU
-Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
-Kuharisha kwa mda mrefu
-Tatizo la kutopata choo laini au kujisaidia kinyesi kigumu
-Tatizo la umri mkubwa
-Uzito kupita kiasi
-Matumizi ya vyoo vya kukaa

 DALILI ZA UGONJWA HUU -

Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
-Kujitokeza kwa uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
-Kujitokeza kwa kijinyama katika tundu la haja kubwa
Kujisaidia kinyesi chenye damu na kunuka kwa harufu mbaya sana MADHARA -Kupata upungufu wa damu
-Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
-Kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke -Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa ari ya kufanya kazi na kutojiamini katika hadhara ya watu
JINSI YA KUEPUKA
-Kutumia matunda na mboga za majani katika mlo
-Kunywa maji ya kutosha wakati na baada ya mlo
-Epuka kukaa chooni kwa mda mrefu
TIBA YAKE HOSPITALINI
Ugonjwa huu tiba yake ni kukukata uvimbe uliojitokeza katika tundu la haja kubwa
Lakini tiba hii si nzuri sana kwani hupelekea kujirudia tena kwa uvimbe pale mgonjwa akosapo kinga tosha
Pia hupelekea maumivu makali kwa mgonjwa
TIBA MBADALA
Tiba ya ugonjwa huu imepatikana
Dawa hizi zinatoa sumu zote zilizopo katika mwili kuondoa vimelea vya ugonjwa huu
Pia huzuia utokaji wa damu na pia kuondoa uvimbe na misho yote ijitokezayo katika tundu hili la haja kubwa
BAWASIRI NI UGONJWA HATARI KAMA HUTOUCHUKULIA HATUA YA TIBA MAPEMA

Comments

Popular posts from this blog

PUNGUZA UZITO | KITAMBI | NYAMA ZEMBE | NA JENGA MISULI KWA NJIA HII BORA NA SALAMA

By   Crispine  Bruno  - March 21, 2019 0 244 The Clean 9 Program can help you jumpstart your journey to a slimmer, healthier you. This effective, easy-to-follow cleansing program will give you the tools you need to start transforming your body today. Over the next 9 days, you can expect to look better and feel better and begin to eliminate stored toxins that may be keeping you from absorbing the maximum nutrients in your food. You’ll also begin to feel lighter and more energized as you prove you can take control of your appetite and see your body begin to change. Welcome and congratulations for taking charge of your health. I salute you! Your transformation has just began. Am proud and excited for you!? Clean 9 (C9) is a 9 day cleansing phase which is part of the Fit programme from Forever Living Products (USA) which has been here since 1978 giving amazing, highly effective and internationally u...
Habari yako ndugu msomaji wa makala hii, Mimi ninaitwa crispine bruno, ni mshauri wa afya na virutubisho, napenda kuonesha wadhifa wangu kwako kwamba nina uwezo mkubwa wa kushare mambo tofauti tofauti na wewe unaye soma hapa muda huu wa kuweza kupata ujuzi na njia ambazo zitakufanya uweze kutimiza malengo yako hapa duniani, je Upo tayari kuachana na mambo yasiyo ya msingi na kuweza kuambatana nami katika safari hii? Kama jibu ni ndio basi fungua fikra zako na unijibu private au bonyeza link hapo chini uweze kuwasiliana nami katika group!!!!

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!*

*MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!* P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba. P.I.D NI NINI?? P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk  . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke. *Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????* *đź’ĄDALILI ZA P.I.D* 👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia 👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio) 👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa 👉Maumivu wakati wa kukojoa 👉Kutapika na homa 👉Uchovu 👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huw...