Skip to main content

FAHAMU AFYA YA TEZI DUME







Kila mwanaume amezaliwa na tezi dume.  tezi dume siyo   ugonjwa  bali ni kiungo   kama viungo vingine   mwilini.   tezi dume inapatikana katika   mfumo wa   uzazi wz mwanaumekatika shingo ya kibofu cha  mkojo.


kazi yaske kubwa ni kutengeneza   majimaji ya uzazi wa     wa mwanaume,      9shahawa),     ambayo    husaidia kurutubisha     mbegu za kiume   zilizo   tengenezwa   kutoka kwenye korodani; na   husaidia   mbegu   za kiume   zilizo  kubaki hai kwa muda unaostahili


Tatizo linakuja kiungo hikli kinapo anza  kutanuka.   kiungo  hiki   kinatanuka taratibu taratibu mnoo.   Hili ni tatizo linalo wakumbawanaume wengi.   Takwimu   zinaonesha kwamba   kati ya wanaume  10,   wa 5  na kuendelea  wanadalili za   kutanuka kwa tezi dume.



























.









Ukuwaji wa tezi dume ni ile hali ya  chembe chembe  hai katika  tezi   ya
kiume    kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo  wa  mwili   katika eneo linalo zunguka mirija  ya kupitishia mkojo  na mbegu za kiume.   tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume  kuanzia  umri  wa miaka  25    na   kuendelea,     tofauti    na awali    ilikua ni  miaka zaIDI    YA 50


Takwimu kutoka katika    shirika la CHRP  (Center for human right  promotion)     zinaonesha   kwamba    kiujumla   kila   mwanaume   klatika   maisha   yake    ana   16%    ya kugundulika   na    saratani   ya  tezi   dume    mtu   mmoja kati ya   watu   6  anaye    hili    tatizo;    3%  (1  kati   ya 33)    wanakufa   kwasababu   ya     saratani   ya   tezi   Dume.
Saratani hii inauwa     mwanaume  1  kila baada ya dakika   13






ii.VYANZO VINAVYO PELEKEA  KUTANUKA KWA TEZI DUME
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume  limekua kwa kasi kubwa sana  hii ni kutokana na mitindo ya   wanaume wengi  wanayoishi.   pia  na   elimu  ndogo  ilioko kwenye jamii kuhusu afya   zao.


vifuatavyo ni   vyanzo   vya   kutanuka   kwa tezi    dume

-ukosefu wa     lishe    kamili  na virutubisho  muhimu    mwilini
-uwepo wa sumu nyingi    mwilini
-kutokufanya  mazoezi
matumizi   ya   pombe    kali na uvutaji   wa    sigara
-uzito   mkubwa  (uliopindukia, uliokithiri   na  kitambi)
-kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili ( hormone  imbalance) 
-msongo wa mawazo   (stress)
-magonjwa ya zinaa
-umri mkubwa
-upasuaji wa korodani moja 
-Historia   ya   familia    (urithi)
-M azingira


II.DALILI ZA KUTANUKA    KWA   TEZI  DUME
Mpaka mtu apate saratani ya tezi dume   (Prostate cancer),   ujue umekaa natayizo   hilo  kwa   muda  mrefu   sana,    sio   chini   ya   miaka   isiyo  pungua   kumi  (10)  ....  hii ni kutokana na mrundikano    wa   mkojo   unaobaki  kwenye  kibofu  na   kwenye   mrija   wa   mkojo   (urethra)   wakati   unakojoa,   ukiendelea    KUJIRUNDIKA   KWENYE   KIBOFU   na   kwenye   mrija  baada   ya muda   unazalisha    "uric acid"    au   ndio inatengeneza     saratani    (cancer).

Saratani   zipo  stage   nne  4 ...  yakwanza na ya pili   ukiwahi   unaweza   ukapona ;   lakini   ikishafika   stage   ya 3  na 4   hazitabiliki,..    unasaidiwa    kupunguza   makali   kwa mionzi   ukijitayarisha   kupoteza   maisha...   muda   wowote!!

Hivyo   ukiona    moja ya  dalili   moja wapo   kati  ya  hizi   chukua hatua   na tahadhari    mapema   kabla   hujaaribu   mfumo wako   mzima  wa   uzazi  wa  mwanaume.



   a)Dalili za awali

-kukojoa   mkojo uliochanganyika na damu
-kukojoa  mkojo  wenye   mtiririko   dhaifu
-maumivu  kwenye  mfumo   wa   mkojo
-kuhisi   maumivu   wakati  wakukojoa
-kuhisi  kibofu  kimejaa mkojo muda wote   na ukienda  kukojoa   mkojo   hautoki  lakini   ukirudi  kukaa  unahisi   kukojoa   tena
-homa
-kukojoa  mara  kwa mara    wakati   wa  usiku


  b)dalilio za mtu  alie athirika

-maumivu   ya   mifupa  hasa chini   ya  mgongo,  kiuno   na  mbavu
-miguu kuwa  dhaifu
-kushindwa   kumudu  tendo   la   ndoa   au  kuhisi  maumivu   makali   wakati    unamaliza    tendo la ndoa 
-  kushindwa kuzuia   mkojo  pindi   unapo   hisi   kukojoa
-kushindwa   kuzuia  haja   kubwa   ( kinyesi ch majimaji)
-tumbo   kujaa gesi
























 III. MADHARA YA TEZI DUME  ILIYO  TANUKA


Katika  hatua  za    awali,    tezi inapotanuka  hugundulika   kwa kupimwa    kwa njia ya   kidole.
hii ni njia   ambay    dactari    huingiza   kidole  kwenye  njia   ya    haja  kubwa  ili  kuweza  kubaini   kama   tezi   imetanuka.   kipimo    hiki  ndicho   kirahisi  kinacho  kubalika   kote   duniani   na   kisicho  na  gharama.  lakini kimekua kikipata upinzani   kutoka   kwa   wanaume    kutokana    na imani potofu   ya   wahusika    wa   tatizo   hili  kuona   ni   uzalilishaji.











 kipimo kingine ni   kipimo  cha   damu.   damu    huchunguzwa   aina
ya  protein    inayo   zalishwa   na   seli    za   tezi   dume,   kiitwacho    Prostate   Antigen  (PSA).  PSA  huonesha   kuwapo kwa    tatizo    kwenye  Tezi Dume,  lakini  kipimo   hiki  hakina   uwezo  wa kutosha   wa kutofautisha   endapo  tatizo   hilo   linamaanisha   saratani.








 Yafuatayo ni madhara  ya   tezi   dume  iliyo  tanuka

-kibofu   cha   mkojo   kuuma:   hivyo  hupelekea   mkojo   kurudi  juu,   na  kuharibu   figo  na ini... nk.
- Kushindwa    kumudu   tendo  la   ndoa  (ndoa  zinavunjika)
-ugumba (infertility,  frigidity  for men)
-kifo







IV.SULUHISHO  KWA  TEZI  ILIYO  TANUKA
      
    
     a)  Watu wengi hukimbilia hospital   pindi  wanapo  patwa  na  madhara  ya  tezi   dume   na   kujikuta   waki pewa   tiba   ambazo   zinaficha   tatizo  hilo   kwa   muda   mfupi   na kisha    hujirudia tena  kwa  kiasi  kikubwa

Tezi  iliyo tanuka   haiwezi  kutibika   kwa njia   za   madawa  yenye    makemikali  au   mitishamba    lakini   madawa   au   upasuaji   hupunguza    maumivu  ya   dalili  na   kuzifanya    zisizidi    sana  ..


kuna njia  3 za kudhibiti   tezi    iliyotanuka

             1.kusubiri   na    kufuatilia  kwa  ukaribu   na   dactari

             2.Madawa

             3.Upasuaji

 Inashauriwa   kwamba  kwa   tatizo   hili   ni    bora    kuendelea   kulichunguza   bili   kukimbilia   tiba   kali    kama   madawa ,   upasuaji   na   tiba    ya    kikemikali,   mpaka   pale  mtu   atakapoona  hakuna   njia  mmbadala.





"Baadhi ya madawa wanayo pewa wagonjwa wa saratani ya tezi dume yaligunduliwa miaka 30 iliyopita yana sababisha athari kwenye ini, Moyo na kuvimbisha magoti, yamepigwa marufukuu hasa kwa nchi za ulaya"


  1. -Johnathon   Waxman,    cancer  specialist,  Hammer  Smith  Hospital, London


Njia hii ambayo   madactari   hutumia   inapelekea    70%    ya  wagonjwa    kuwa   mahanisi   baada ya   upasuaji,  na   40%   kuwa   wanashindwa   kuzuia  mkojo   kutoka   wanapo   banwa    na  haja   ndogo
            -Johnathon  Waxman
Inasikitisha  kuona    wanaume  wanapasuliwa   bila   uhakika   wowote   kwamba   huo   upasuaji   utakua   na  manufaa.



    b)Suluhisho    la   kudumu   (Bora)
  
  1. kula   mboga  mboga  na  matunda   kwa   wingi  kulingana na kundi   la   damu   yako.
  2. Punguza   au   acha   kuvuta    sigara 
  3. punguza   au  acha   utumiaji   wa   pombe   kali
  4. punguza   kukaa  masaa nane  kwa   siku  .  fanya   mazoezi   kwa   wingi.(sitting is a new   smock)
  5. kutovaa  nguo  za   kubana
  6. vaa chupi   za   cotton   na siyo    material   yeyote
  7. kuhakikisha uume  uwe  una erect   mara  kwa  mara
  8. na  cha   mwisho  ambacho  ni muhimu  kuliko   vyote   ni  utumiaji  wa   virutubisho (supplements)  tyezi  dume  inatanuka  kwa sababu  ya  upungufu wa  madini  na  virutubish  mwili unavyohitaji.


watu wenye  changmoto  hii ya  kutanuka  kwa   tezi   dume   na  mfumo  wa   uzazi  wa   mwanaume,  kampuni    tumewaandalia   program  ya  lishe   kamili  na  virutubisho  m,uhimu..   bidhaa   hizii siyo  dawa  wala  mitishamba,   zimetengenezwa  kutoka    kwenye  vyakula  ambavyo  tungefaa  kula  kila  siku   na   vina  lishe  kamili   na  virutubisho  muhimu    katika   miili   yetu   inavyo  hitaji   ili   iweze    kutengeneza   yenyewe   afya   bora   na   nadhifu.


hizo    bidhaa   zina  mchanganyiko   wa  vitu  vifuatavyo;  protein, vitamin,  mineral,essential fat, acid   and  trace  minerals.  pia  programu zetu   za  lishe   zimethibitishwa  na   mashirika ya  kudhibiti  ubora  wa viwango  duniani.  na   kwa  hapa  tanzania   zimethibitishwa  na mamlaka   ya chakula   na dawa  (TFDA).    tunapatikana   victoria, dar se salaam  (HEAD QUATERS)_



kwa yeyote  anae hitaji program hii  ya  kuboresha    na  ushauri  wa  kuimarisha   afya  yake   ya  tezi  dume   na  mfumo  mzima   wa   uzazi  wasiliana na  mtaalamu  wetu.  kupata  mafunzo  zaidi  kuhusiana   na   afya   ya  mwanaume     0745855427


Comments

Popular posts from this blog

PUNGUZA UZITO | KITAMBI | NYAMA ZEMBE | NA JENGA MISULI KWA NJIA HII BORA NA SALAMA

By   Crispine  Bruno  - March 21, 2019 0 244 The Clean 9 Program can help you jumpstart your journey to a slimmer, healthier you. This effective, easy-to-follow cleansing program will give you the tools you need to start transforming your body today. Over the next 9 days, you can expect to look better and feel better and begin to eliminate stored toxins that may be keeping you from absorbing the maximum nutrients in your food. You’ll also begin to feel lighter and more energized as you prove you can take control of your appetite and see your body begin to change. Welcome and congratulations for taking charge of your health. I salute you! Your transformation has just began. Am proud and excited for you!? Clean 9 (C9) is a 9 day cleansing phase which is part of the Fit programme from Forever Living Products (USA) which has been here since 1978 giving amazing, highly effective and internationally u...
Habari yako ndugu msomaji wa makala hii, Mimi ninaitwa crispine bruno, ni mshauri wa afya na virutubisho, napenda kuonesha wadhifa wangu kwako kwamba nina uwezo mkubwa wa kushare mambo tofauti tofauti na wewe unaye soma hapa muda huu wa kuweza kupata ujuzi na njia ambazo zitakufanya uweze kutimiza malengo yako hapa duniani, je Upo tayari kuachana na mambo yasiyo ya msingi na kuweza kuambatana nami katika safari hii? Kama jibu ni ndio basi fungua fikra zako na unijibu private au bonyeza link hapo chini uweze kuwasiliana nami katika group!!!!

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!*

*MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!* P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba. P.I.D NI NINI?? P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk  . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke. *Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????* *💥DALILI ZA P.I.D* 👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia 👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio) 👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa 👉Maumivu wakati wa kukojoa 👉Kutapika na homa 👉Uchovu 👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huw...