Skip to main content

FAHAMU MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA

Shirika la afya duniani (WHO), limeonya kuhusu ongezeko la watu wenye unene wa kupitiliza, huku akitaja hiyo kua ni sababu kuu ya kuwapo kwa watu wengi wenye maradhi ya moyo, kisukari na ini


pamoja na watu hawa kuhitaji kufanya mazoezi kupunguza uzitowa miili yao, wataalamu wa chakula na lishe wanashaurikufanyamazoezi kulingana na aina ya vyakula unavyokula



NAMNA YA KUPIMA UZITO WAKO

Je unafahamu BMI yako?

Body Mass Index (BMI) ni kipimo kinacho tumia urefu na uzito wako kama unauzito wa kiafya

kujua kipimo cha BMI unachostahili kuwa nacho, unachukua urefu wako kwa mita*hurefu kwa mita*24.9





Ikiwa BMI yako ni:

*Chini ya 18.5-una  underweight.

*Kati ya 18.5 na 24.9-una uzito sahihi wa kiafya.

*kati ya  25 na 29.9- una overweight

*kutoka 30 Na  zaidi- unauzito uliopitiliza


WEIGHT MANAGEMENTS CATEGORIES.



MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA

Ukiwa na uzito wa kupitiliza itasababisha  madhara yafuatayo

1.Matatizo kwenye figo

2.Uwepo wa michirizi

3.kupunguza hamu ya tendo la ndoa

4.Kuharibu mfumo mzima wa upumuaji

5.kuharibu ini

6.Hupelekea uwezekano wa kupata kisukari,tatizo la pressure, na kwenye gut.

7.Hupelekea changamoto kwenye mfumo wa moyo

8.Hupelekea matatizo ya kwenye mfumo wa ubongo

9.Hupunguza kasi ya kuishi

10.Huleta shida kwenye mfumo wa mmeng'enyaji wa chakula

11.Maumivu kwenye viungo kama vile magoti,kiuno nk.

12.Kuongeza kiwango cha mafuta mwilini





Add caption



SULUHISHO LA KUDUMU


Programu ya kwanza inaitwa "Detox Pack"

.Inaboresha kinga ya mwili

.Husaidia kuweka homoni sawsawa

.virutubisho vinakuwa vinanyonywa vizuri mwilini

.Inakufanya upate usingizi mzuri

.Inasaidia kuweka sawa mmeng'enyo wa chakula

.Inapunguza kasi ya uzee

.Inakupa nguvu ya kutosha

.Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri

.Inaondoa uvimbe wa ndani na nje.





body fitness







FAIDA NYINGINE ZA KUTUMIA DETOX PACK


  • Inachukua siku tisa

  • Huondo Taka mwilini

  • Inakufanya ujisikie active

  • Inasafisha ngozi yako

  • inakupunguza kidogo kwa sababu ya sumu

  • Haina madhara yeyote

  • Inatumiwa na watu wa rika aina zote


Kakitambi


Health body




Programu hii ni muhimu  sana kwa watu wa rika zote hasa katika kuimarisha kinga ya mwili na kuongeza vitamini mwilini.  Matokeo yanaweza kutofautiana.
kwa wadada hili limekuwa Ttizo kubwa  kwa wadada wengi sana #KAKITAMBI"  kinamfanya msichana akose Confidence na mwili wake,
pia anakua Uncomfortable kuvaa Top Fupi au Skinny Top.


Utofauti wa programu yetu na program zingine


utofauti wake ni
Njia nyingi Ambazo tumezizoea Za Kupunguza Uzito. zinatusaidia kuondoa mafuta kiasi tu mwilini lakini haiondoi sumu ambazo ndio sababu ya unene


Uzuri wake ni;
Programu ya  C9 inafanya kazi ya kusafisha na kuondoa sumu mwilini,na kukusaidia kupungua  hivyo sumu zikiisha bas kunenepa tena itakua  siyo rahisi




njia sahihi ya kupungua
utofauti wa hii program na program zingine
















Baada ya kutumia Detox pack utaendelea na priogramu ya pili ya kupunguza uzito kama utapendelea kupunguza uzito zaidi.  Baadhi ya watu waliopungua uzito.



Miss Zawady
Miss Zawady


Miss Elizabert




Couples


Miss Veronica
Miss Zawady














kwa wewe mwanamke mwenye   changamoto hii nimewaandalia  program maalum na virutubisho muhimu. bidhaa hizi ni vyakula siyo dawa  wala mitishamba.  zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika miili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza yenyewe afyabora na nadhifu. 

hizo bidhaa zinamchanganyiko wa vituvifuatavyo; Protein, Vitamins, Mineral, Essential fatty acid, and Trace Minerals. Pia program zetu za lishe zimethibitishwa na mashirika ya kudhibiti ubora wa viwango vya bidhaa duniani . na kwa hapa Tanzania zimethibitishwa na  mamlaka ya  vyakula na madawa (TFDA).  Tunapatikana Victoria, Dar es salaam  (HEAD QUATERS)



Kwa yeyote anaye hitaji ushauri wa bure kuhusu programu hii awasiliane na kwa simu namba 
0745855427
or 
tumia link hii ya whatsup uweze kupata ushauri wa bure kwenye group letu

          https://chat.whatsapp.com/FdNw4azRDNg3ABWwde8Ff3

Comments

Popular posts from this blog

JE   WEWE NI MWANAUME NA  UNAPATA CHANGAMOTO KATIKA MFUMO WA  UZAZI. FAHAMU KUHUSU  MALE FERTILITY  KIT  YA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME NA  MFUMO WA UZAZI KWA MWANAUME. Je wafahamu vyakula na vinywaji tunavyotumia sasa vimekuwa na changamoto sana kiafya na kusababisha matatizo mbali mbali katika mwili ikiwemo Organ zetu za uzazi? Mara nyingi huwatokea wanafamilia wengi either Baba au Mama kukosa hamu ya tendo la ndoa au kama ni mwanaume kushindwa kabisa kumrithisha mwenzi wake, sasa wengine huanza kudhani labda kuna ushirikina ndani yake kumbe ni mfumo tu wa uzazi umeathiriwa na uwepo wa sumu,Magonjwa au baadhi ya vitu kutokuwa sawa katika mwili, Hivyo basi kutokana na changamoto hizo na waweza kutumia programu hii ya afya ya uzazi ya  MALE  FERTILITY  KIT. MALE  FERTILITY  KIT, ni virutubisho vya asili vilivyotengenezwa na mimea na virutubishi mwili mbalimbali, vina Faida nyingi sana mwilini lakini b...

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!*

*MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!* P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba. P.I.D NI NINI?? P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk  . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke. *Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????* *đź’ĄDALILI ZA P.I.D* 👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia 👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio) 👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa 👉Maumivu wakati wa kukojoa 👉Kutapika na homa 👉Uchovu 👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huw...

FAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA NJIA ZA KUEPUKANA NAYO.

  Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo kama viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.  Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili. Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.  Takwimu zinaonesha kwamba kati  ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.   Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume. Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali li...