Skip to main content

FAHAMU NI KWANINI KUNA ONGEZEKO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME



Familia nyingi zina changamoto  ya mfumowa uzazi. Leo hii tunaendelea kuzungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume hususani, upungufu wa nguvu za kiume . takwimu zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.  tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na linawakumba sana watu  wazima kuanzia umri wa miaka 35- 75+.
kuna aina 3 za upungufu wa nguvu za kiume .
    -shahawa  (sperm) hazina uwezo wa kutunga mimba.
    -ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.  ikitokea umepata hamu hata idogo shahawa zinawahi kutoka.  wengine wanapata hamu ya tendo  la ndoa lakini hawatoi shahawa.
  -uume kuto kusimama (mashoga)

      !!. Chanzo cha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume
Upungufu wa nguvu za kiume siyo ugonjwa bali ni  kama indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo vya mwili wa binabamu ambavyo  vinavyo husika  Na nguvu za kiume  havifanyi kazi vizuri.  Baadhi ya hivyo viungo vinavyo husika na nguvu za kiume  ni mvyen kwenye viungo hivi ndiyo vinapelekea moja kwa moja  mtu kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

 hivi ni baadhi ya vitu vinavyo sababisha viuvyo taja hapo juu  kutofanya kazi vizuri na baadae kusababisha matatizo mbali mbali vikiwemo  vifo.
kuwa makini na vitu vifuatavyo:

  • uvutaji wa sigara, na utumiaji wa  dawa za kulevya
  • pombe(aina yeyote)  
  • Masturbation (kujichua, au kupiga punyeto)
  • Kula vyakula vyenye kuharibu mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (digestive systerm).   huu mfumo ukiharibika  unasababisha damu   kutosafirishwa    vizuri    mwilini
  • uzito mkubwa   au kitambi
  • Tatizo la    kutopata     choo    vizuri   (constipation)
  • tatizo    la    tezi    dume
  • Matatizo    ya    moyo
  • Kisukari   (Diebetes)
  • Stress, pressure,cholesterol
  • Hormone imbalance
  • Kukaa kwa muda mrefu
  • kutumia sana madawa yenye kemikali  (HOSPITAL)  hapa unatakiwa kuwa makini na kukumbuka kwamba  miili yetu haijaumbwa kwaajili ya madawa  ya  kikemikali,   miili yetu iliumbwa    ili iweze kujitengenezea kinga kupitia  vyakula  tunavyo   kula   vyenye lishe na    virutubisho.   siyo madawa   ya kikemikali    au mitishamba..   tunaenda hospitalini kwakuwa  haora na ujiepushe na kama wewe    unahitaji kuwa na afya bora na ujiepushe na  magonjwa mbalimbali,  unashauriwa   kujenga utaratibu wa kuupatia mwili   wako lishe  kamili  na  na virutubishpo muhimu


       !!!.Dalili za upungufu wa nguvu za kiumeNa tunapoongelea   suala   la  upungufu wa nguvu za kiume  tunamaanisha:
  1. Kukosa hamu ya tendola ndoa
  1. kukosa pumzi
  1. uwezo wa kushindwa kurudia tendo la ndoa
  1. uume kusimama kwa ulegevu
  1. kuwahi kufika kileleni
  1. kuchelewa sana kufika kileleni:  ukizidi kuchelewa sana  mwenzako anapata maumivu makali sana  na kuanza kujuta  japo hata kuambia kwa sababu  ni aibu  kwake;  na wewe  pia hutofurahia tendo  la ndoa.   utaathirika  kisaikolojia kwa njia  moja  au   nyingine
  1. Kuchoka sana baada ya tendo  au kujisikia  kichefuchefu,      wakati  mwingine    wengi huwa wanajihisi   kutapika














iv.madhara ya upungufu   wa nguvu  za  kiume
kabla hatujaenda kutiririka   baadhi ya madhara  yanayo tokana na upungufu wa nguvu za kiume,  kuna vitu muhimu sana  kwa wanandoa   au wapenzi   wanastahili kujua.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana  na aliumbwa  na uwezo   wa  kuweza   kukojoa  zaidi   ya   mara  5,   endapo wewe utaweka sawa afya yako    na kujua   ni   vitu   gani    unastahili   kufahamu.   ili mwanamke   akojoe  kwa    mshindo   wa   kwanza  ni lazima uume wako  uweze  kusimama    angalau    dakika   5--10   ukiwa   unachezesha uume wako kwenye   mashavu   ya   uke.
wanawake wanapenda sana kuchezewa kwenye mashavu ya uke  kwa kutumia uume   siyo   vinginevyo.     wanaume   wengi   wanashindwa   kuwaridhisha    wenzia     ukweli   thabiti   ni huu:   endapo   unakuwa    na afya nzuri  ya mfumo   wa uzazi   utaweza kusimamisha uume   wako    na kumridhisha kiurahisi    bila   kutumnyingi kwa kila mshindo.   hivyo  basi usihangaike    kwenda kwa waganga   (kalumanzira),  mashekhe,      makanisani kuombewa,     kwasababu suala    zima ni   kwamba     unajali vipi  afya   yako?































Mfumo wako wa uzazi ukiwa haufanyi kazi vizuri utapata madhara yafuatayo:
  • dharau
  • kushindwa kumridhisha mwanamke  hili ni tatizo  linalopelekea kutoka nnje ya ndoa   na baadae   kuachika  
  • kushiondwa kupata mtoto
  • kushindwa kupata ladha kamili ya tendo la ndoa
  • uume kusimama kwa ulegevu
  • fujo kila kukich.  shida hamzitatui kama watu wazima na mara nyingi   hamuelewani   hata  kidogo.     wengine wanaenda makanisani kwa mashekhe   ili wapate   suluhisho   la ndoa zao
  •  kutoka nje ya ndoa  (jinsia zote mbili)   vitu unavyoenda kutafuta   havieleweki,  havina msingi,    bali unakaribisha matatizo juu ya mengine
  • ndoa   kusambaratika na kuranda randa   kila  sehemu.  unajishushia heshima  mwenyewe    bila   kujitambua.
  • uume kusinyaa na kupoteza ubora na ukakamavu





























g1
by cris bruno


Miili yetu ni sawa na kiwanda.    kiwandani   kuna   vitu vingi    sana:    kuna   mashine,    wafanya kazi,  umeme,    maji.... nk   kinapo kosekana     kimoja    kati   ya    hivyo    kiwanda   hakiwezi kufanya kazi vizuri ndivyo hivyo miili yetu   tukija   kwenye upande wa nguvu za   kiume     nguvu   za  kiume    ni   kiwanda.

Comments

Popular posts from this blog

JE   WEWE NI MWANAUME NA  UNAPATA CHANGAMOTO KATIKA MFUMO WA  UZAZI. FAHAMU KUHUSU  MALE FERTILITY  KIT  YA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME NA  MFUMO WA UZAZI KWA MWANAUME. Je wafahamu vyakula na vinywaji tunavyotumia sasa vimekuwa na changamoto sana kiafya na kusababisha matatizo mbali mbali katika mwili ikiwemo Organ zetu za uzazi? Mara nyingi huwatokea wanafamilia wengi either Baba au Mama kukosa hamu ya tendo la ndoa au kama ni mwanaume kushindwa kabisa kumrithisha mwenzi wake, sasa wengine huanza kudhani labda kuna ushirikina ndani yake kumbe ni mfumo tu wa uzazi umeathiriwa na uwepo wa sumu,Magonjwa au baadhi ya vitu kutokuwa sawa katika mwili, Hivyo basi kutokana na changamoto hizo na waweza kutumia programu hii ya afya ya uzazi ya  MALE  FERTILITY  KIT. MALE  FERTILITY  KIT, ni virutubisho vya asili vilivyotengenezwa na mimea na virutubishi mwili mbalimbali, vina Faida nyingi sana mwilini lakini b...

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!*

*MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA!!* P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba. P.I.D NI NINI?? P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk  . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke. *Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????* *đź’ĄDALILI ZA P.I.D* 👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia 👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio) 👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa 👉Maumivu wakati wa kukojoa 👉Kutapika na homa 👉Uchovu 👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huw...

FAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA NJIA ZA KUEPUKANA NAYO.

  Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo kama viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.  Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili. Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.  Takwimu zinaonesha kwamba kati  ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.   Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume. Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali li...