Skip to main content

Posts

Showing posts from May, 2019

ONDOA CHANGAMOTO YA UZAZI NA NGUVU ZA KIUME KWA NJIA HII BORA NA ASILI.

By  Criss Bruno  - March 18, 2019 2 511 Ukiwa kama  mwanaume rijali  mpenzi wako anategemea kufurahia tendo la ndoa kutoka kwako mnapokuwa pamoja kitandani. Anahitaji kukuona wewe kama ndiye mtu pekee ambae unaweza mridhisha na kumfikisha pale yeye anapohitaji wakati wa tendo la ndoa. Mwanzoni mwa mahusiano mambo huwa sawa lakini baadae mambo huanza kubadilika taratibu. Hali hii kwa wenine huweza kujitokeza kwasababu labda kwasababu ya ubize sana katika kazi hali inayopelekea kukosa hamu ya tendo,  Kutokula vizuri na wakati mwingine kupitisha mlo bila kula vizuri hivyo mwili kukosa virutubisho muhimu vya kujenga afya ya uzazi,  Matatizo ya homoni kutokuwa vyema(Hormonal imballance), Mwili kuwa na taka mwili nyingi(sumu) / Kuwa na mafuta mengi mwilini na kitambi,  sababu za kiumri za umri hali ambayo mwili hupelekea kupungukiwa kwa baadhi ya virutubisho muhimu katika afya ya uzazi na pia  kuwa na  changamoto za ki...

FAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA NJIA ZA KUEPUKANA NAYO.

  Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo kama viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.  Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili. Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.  Takwimu zinaonesha kwamba kati  ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.   Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume. Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali li...