Skip to main content

MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO (U.T.I)







0
183

















Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) husababishwa na vimelea kitaalamu hujulikana E. Coli. Vimelea hawa huishi  kwenye mfumo wa chakula bila kuleta madhara yoyote wawapo humo, ila wakiingia kwenye njia ya mkojo huleta maambukizi na kusababisha ugonjwa wa UTI.
Kutokana na sababu za kimaumbile, Wanawake huathirika zaidi na ugonjwa wa UTI kuliko wanamume, hii ni kwa kwasababu kuna ukaribu zaidi katika njia hizi mbili za haja kubwa na mkojo. Na pale mtu anaponawa baada ya haja kubwa ni rahisi zaidi kuhamisha vimelea hivi vya E. Coli  kwenye njia ya mkojo  ambapo hujifuta kuelekea mbele.  Na ndiyo sababu, kwa wanawake, hushauriwa kunawa kuanzia mbele kuja nyuma. Endapo utanawa kuanzia nyuma kuja mbele, kuna uwezekano wa kuhamisha vimelea hivi ambavyo husambaa hadi kwenye kibofu, na endapo hautotibiwa vyema, basi hupanda hadi kwenye figo.
Pia, Wanawake huathiriwa sana na UTI kwa sababu wana njia nyembamba ya mirija ya mkojo (urethra) ambayo, inawapa bakteria wa UTI urahisi wa kusafiri hadi kwenye kibofu cha mkojo. Kujamiiana pia kunaweza kunaweza kupelekea kupata bakteria wanaosababisha UTI.











             

Dalili Za Maambukizi Kwa njia Ya Mkojo





  • Maumivu wakati wa haja ndogo, na hisia ya mkojo kuchoma choma
  • Kubanwa na mkojo mara kwa mara
  • Maumivu ya kiuno na maumivu ya chini ya kitovu
  • Mkojo wa njano sana, na muda mwingine unatoa harufu
  • Uchovu
  • Homa
  • Kuna baadhi ya watu hawawi na dalili yoyote (asymptomatic bacteriuria)
  • Kichefuchefu na kutapika











Jinsi ya kuepukana na maambukizi ya njia ya mkojo
















SULUHISHO BORA KWA MTU MWENYE MAAMBUKIZI SUGU.
Licha ya matumizi ya Dawa , sindano kwa muda mrefu wapo watu ambao wao huendelea kupata tatizo hili mara kwa mara. Ukweli ni kwamba mwili unapokuwa unapata maambukizi haya basi kinga ya mwili hushuka na hivyo hata kama utatumia madawa fulani kwa muda mrefu tatizo huweza kujirudia tena.


Comments

Popular posts from this blog

PUNGUZA UZITO | KITAMBI | NYAMA ZEMBE | NA JENGA MISULI KWA NJIA HII BORA NA SALAMA

By   Crispine  Bruno  - March 21, 2019 0 244 The Clean 9 Program can help you jumpstart your journey to a slimmer, healthier you. This effective, easy-to-follow cleansing program will give you the tools you need to start transforming your body today. Over the next 9 days, you can expect to look better and feel better and begin to eliminate stored toxins that may be keeping you from absorbing the maximum nutrients in your food. You’ll also begin to feel lighter and more energized as you prove you can take control of your appetite and see your body begin to change. Welcome and congratulations for taking charge of your health. I salute you! Your transformation has just began. Am proud and excited for you!? Clean 9 (C9) is a 9 day cleansing phase which is part of the Fit programme from Forever Living Products (USA) which has been here since 1978 giving amazing, highly effective and internationally u...

FAHAMU NI KWANINI KUNA ONGEZEKO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Familia nyingi zina changamoto  ya mfumowa uzazi. Leo hii tunaendelea kuzungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume hususani, upungufu wa nguvu za kiume . takwimu zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.  tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na linawakumba sana watu  wazima kuanzia umri wa miaka 35- 75+. kuna aina 3 za upungufu wa nguvu za kiume .     -shahawa  (sperm) hazina uwezo wa kutunga mimba.     -ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.  ikitokea umepata hamu hata idogo shahawa zinawahi kutoka.  wengine wanapata hamu ya tendo  la ndoa lakini hawatoi shahawa.   -uume kuto kusimama (mashoga)       !!. Chanzo cha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume Upungufu wa nguvu za kiume siyo ugonjwa bali ni  kama indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo vya mwili wa binabamu ambavyo  vinavyo husika  Na nguvu za kiume  havifanyi kazi ...

Which one are you struggling with?

1. hair liner 2. big belly 3. weight lose 4. Bleeding gums 5. Piles 6. high blood 7. period pains 8. stretch marks 9. scars 10. Black spots 11. Joints 12. Muscle cramps 13. Back pain 14. Eye vision 15. Apetite 16. Dark underarms 17.loss of sexual desire COMMENT WITH THE NUMBER AND I will recommend what you could get on my organic food