Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) husababishwa na vimelea kitaalamu hujulikana E. Coli. Vimelea hawa huishi kwenye mfumo wa chakula bila kuleta madhara yoyote wawapo humo, ila wakiingia kwenye njia ya mkojo huleta maambukizi na kusababisha ugonjwa wa UTI.
Kutokana na sababu za kimaumbile, Wanawake huathirika zaidi na ugonjwa wa UTI kuliko wanamume, hii ni kwa kwasababu kuna ukaribu zaidi katika njia hizi mbili za haja kubwa na mkojo. Na pale mtu anaponawa baada ya haja kubwa ni rahisi zaidi kuhamisha vimelea hivi vya E. Coli kwenye njia ya mkojo ambapo hujifuta kuelekea mbele. Na ndiyo sababu, kwa wanawake, hushauriwa kunawa kuanzia mbele kuja nyuma. Endapo utanawa kuanzia nyuma kuja mbele, kuna uwezekano wa kuhamisha vimelea hivi ambavyo husambaa hadi kwenye kibofu, na endapo hautotibiwa vyema, basi hupanda hadi kwenye figo.
Pia, Wanawake huathiriwa sana na UTI kwa sababu wana njia nyembamba ya mirija ya mkojo (urethra) ambayo, inawapa bakteria wa UTI urahisi wa kusafiri hadi kwenye kibofu cha mkojo. Kujamiiana pia kunaweza kunaweza kupelekea kupata bakteria wanaosababisha UTI.
Dalili Za Maambukizi Kwa njia Ya Mkojo
Maumivu wakati wa haja ndogo, na hisia ya mkojo kuchoma choma
Kubanwa na mkojo mara kwa mara
Maumivu ya kiuno na maumivu ya chini ya kitovu
Mkojo wa njano sana, na muda mwingine unatoa harufu
Uchovu
Homa
Kuna baadhi ya watu hawawi na dalili yoyote (asymptomatic bacteriuria)
Licha ya matumizi ya Dawa , sindano kwa muda mrefu wapo watu ambao wao huendelea kupata tatizo hili mara kwa mara. Ukweli ni kwamba mwili unapokuwa unapata maambukizi haya basi kinga ya mwili hushuka na hivyo hata kama utatumia madawa fulani kwa muda mrefu tatizo huweza kujirudia tena.
By Crispine Bruno - March 21, 2019 0 244 The Clean 9 Program can help you jumpstart your journey to a slimmer, healthier you. This effective, easy-to-follow cleansing program will give you the tools you need to start transforming your body today. Over the next 9 days, you can expect to look better and feel better and begin to eliminate stored toxins that may be keeping you from absorbing the maximum nutrients in your food. You’ll also begin to feel lighter and more energized as you prove you can take control of your appetite and see your body begin to change. Welcome and congratulations for taking charge of your health. I salute you! Your transformation has just began. Am proud and excited for you!? Clean 9 (C9) is a 9 day cleansing phase which is part of the Fit programme from Forever Living Products (USA) which has been here since 1978 giving amazing, highly effective and internationally u...
Familia nyingi zina changamoto ya mfumowa uzazi. Leo hii tunaendelea kuzungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume hususani, upungufu wa nguvu za kiume . takwimu zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na linawakumba sana watu wazima kuanzia umri wa miaka 35- 75+. kuna aina 3 za upungufu wa nguvu za kiume . -shahawa (sperm) hazina uwezo wa kutunga mimba. -ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa. ikitokea umepata hamu hata idogo shahawa zinawahi kutoka. wengine wanapata hamu ya tendo la ndoa lakini hawatoi shahawa. -uume kuto kusimama (mashoga) !!. Chanzo cha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume Upungufu wa nguvu za kiume siyo ugonjwa bali ni kama indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo vya mwili wa binabamu ambavyo vinavyo husika Na nguvu za kiume havifanyi kazi ...
1. hair liner 2. big belly 3. weight lose 4. Bleeding gums 5. Piles 6. high blood 7. period pains 8. stretch marks 9. scars 10. Black spots 11. Joints 12. Muscle cramps 13. Back pain 14. Eye vision 15. Apetite 16. Dark underarms 17.loss of sexual desire COMMENT WITH THE NUMBER AND I will recommend what you could get on my organic food
Comments
Post a Comment