HELLOW!!!
Habarini za siku ya leo, Moja kati ya vitu vinavyo sumbua sana watu wengi, ni umasikini, na je unajua moa kati ya hatarikubwa sana ambayo watu wengi imewaathiri na lakini pia hawafahamu kwamba ni kitukinacho waathiri ila wanateseka sana ninini?
jibu ni moja tu ambalo ni kuwa na mkondo mmoja wakipato , watu wengi wamekuwa wakimiliki mkondommoja tuwakipato ambapo mara nyingi ukifeli tu ndio basi unakuta kila kitu kimeharibika,
unajua wazi kwamba kuna wanaotegemea, ajira ambapo nazo huwapa changamoto kubwa sana
hivi unafahamu hili? "kama wewe umeajiriwa na mshahara hautoshi, inamaana unachangamoto ya kipato, lakini pia kama haujaajiriwa na pia hupatifedha bado unachangamoto ya kipato" na suala watuu wengi wanapofikia katika lever hii hufanya maamuzi ya kupunguza matumizi maamuzi hayaa siyo sahihi, maamuzi sahihi ni kuongeza mkondomwingine wa kipato
Habarini za siku ya leo, Moja kati ya vitu vinavyo sumbua sana watu wengi, ni umasikini, na je unajua moa kati ya hatarikubwa sana ambayo watu wengi imewaathiri na lakini pia hawafahamu kwamba ni kitukinacho waathiri ila wanateseka sana ninini?
jibu ni moja tu ambalo ni kuwa na mkondo mmoja wakipato , watu wengi wamekuwa wakimiliki mkondommoja tuwakipato ambapo mara nyingi ukifeli tu ndio basi unakuta kila kitu kimeharibika,
unajua wazi kwamba kuna wanaotegemea, ajira ambapo nazo huwapa changamoto kubwa sana
hivi unafahamu hili? "kama wewe umeajiriwa na mshahara hautoshi, inamaana unachangamoto ya kipato, lakini pia kama haujaajiriwa na pia hupatifedha bado unachangamoto ya kipato" na suala watuu wengi wanapofikia katika lever hii hufanya maamuzi ya kupunguza matumizi maamuzi hayaa siyo sahihi, maamuzi sahihi ni kuongeza mkondomwingine wa kipato
Comments
Post a Comment