Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2019

FAHAMU AFYA YA TEZI DUME

Kila mwanaume amezaliwa na tezi dume.  tezi dume siyo   ugonjwa  bali ni kiungo   kama viungo vingine   mwilini.   tezi dume inapatikana katika   mfumo wa   uzazi wz mwanaumekatika shingo ya kibofu cha  mkojo. kazi yaske kubwa ni kutengeneza   majimaji ya uzazi wa     wa mwanaume,      9shahawa),     ambayo    husaidia kurutubisha     mbegu za kiume   zilizo   tengenezwa   kutoka kwenye korodani; na   husaidia   mbegu   za kiume   zilizo  kubaki hai kwa muda unaostahili Tatizo linakuja kiungo hikli kinapo anza  kutanuka.   kiungo  hiki   kinatanuka taratibu taratibu mnoo.   Hili ni tatizo linalo wakumbawanaume wengi.   Takwimu   zinaonesha kwamba   kati ya wanaume  10,  ...

FAHAMU NI KWANINI KUNA ONGEZEKO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Familia nyingi zina changamoto  ya mfumowa uzazi. Leo hii tunaendelea kuzungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume hususani, upungufu wa nguvu za kiume . takwimu zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.  tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na linawakumba sana watu  wazima kuanzia umri wa miaka 35- 75+. kuna aina 3 za upungufu wa nguvu za kiume .     -shahawa  (sperm) hazina uwezo wa kutunga mimba.     -ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.  ikitokea umepata hamu hata idogo shahawa zinawahi kutoka.  wengine wanapata hamu ya tendo  la ndoa lakini hawatoi shahawa.   -uume kuto kusimama (mashoga)       !!. Chanzo cha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume Upungufu wa nguvu za kiume siyo ugonjwa bali ni  kama indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo vya mwili wa binabamu ambavyo  vinavyo husika  Na nguvu za kiume  havifanyi kazi ...

FAHAMU MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA

Shirika la afya duniani (WHO), limeonya kuhusu ongezeko la watu wenye unene wa kupitiliza, huku akitaja hiyo kua ni sababu kuu ya kuwapo kwa watu wengi wenye maradhi ya moyo, kisukari na ini pamoja na watu hawa kuhitaji kufanya mazoezi kupunguza uzitowa miili yao, wataalamu wa chakula na lishe wanashaurikufanyamazoezi kulingana na aina ya vyakula unavyokula NAMNA YA KUPIMA UZITO WAKO Je unafahamu BMI yako? Body Mass Index (BMI) ni kipimo kinacho tumia urefu na uzito wako kama unauzito wa kiafya kujua kipimo cha BMI unachostahili kuwa nacho, unachukua urefu wako kwa mita*hurefu kwa mita*24.9 Ikiwa BMI yako ni: *Chini ya 18.5-una  underweight. *Kati ya 18.5 na 24.9-una uzito sahihi wa kiafya. *kati ya  25 na 29.9- una overweight *kutoka 30 Na  zaidi- unauzito uliopitiliza  WEIGHT MANAGEMENTS CATEGORIES. MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA Ukiwa na uzito wa kupitiliza itasababisha  madhara yafuatayo 1.Matatizo kwenye figo 2....

Which one are you struggling with?

1. hair liner 2. big belly 3. weight lose 4. Bleeding gums 5. Piles 6. high blood 7. period pains 8. stretch marks 9. scars 10. Black spots 11. Joints 12. Muscle cramps 13. Back pain 14. Eye vision 15. Apetite 16. Dark underarms 17.loss of sexual desire COMMENT WITH THE NUMBER AND I will recommend what you could get on my organic food